Promotion

Airtel Yala Raha na watoto wa wateja wao Dar es Salaam

>Watoto wa wateja wa kampuni ya Airtel Tanzania wakijumuika kwa pamoja >na watoto wa wafanyakazi wa Airtel kukakata keki iliyoandaliwa na >kampuni ya Airtel Tanzania katika shamra shamra za tamasha maalum >kuelekea sikukuu ya pasaka ambapo watoto hao walipata nafasi ya >kucheza michezo mbali mbali kwa pamoja ambayo imefanyika katika >kituo cha michezo ya watoto kiitwacho Fun Sport ndani ya jengo la >Qualty center Jijini Dar-es-salaam.
>Huu ni mkakati ambao Airtel imejiwekea kusherehekea pamoja na watoto
>wa wateja wao wa makapuni ( corporate customer) wiki moja kabla ya
>sikukuu za pasaka huku lengo likiwa ni kuwa karibu na wateja wao na
>kusambaza upendo wa kampuni hiyo kwa wateja wake na familia zao.
>
>Akiongea kwa niaba ya Airtel Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Bi Irene
>Madege
>alisema” leo tunajisikia furaha kuwa na watoto wa wateja wetu na
>kujumuika nao pamoja, Tumekuwa tukifanya shughuli mbalimbali ikiwa ni
>katika kuwazawadia wateja wetu, lakini leo tunatumia muda huu kuwapa
>burudani watoto ambao ndio wateja wetu wa kesho”.
>
>Kwa muda wa takribani masaa 4 watoto zaidi ya 150 walipata burudani
>mbalimbali ikiwa pamoja na michezo mbalimbali ya watoto kama face
>painting, mashindano ya kucheza music, na pia kupata nafasi ya
>kukutana na wafanyakazi wa Airtel, kumzungumza pamoja na kuwasisitiza
>watoto kuwa wasikivu shuleni ili kufanya vizuri kwenye masomo yao,
>tunaamini watoto hawa wamekuwa na wakati mzuri pamoja nasi. Aliongeza
>Bi Irene.

Watoto wa wateja wa kampuni ya Airtel Tanzania wakijumuika kwa pamoja >na watoto wa wafanyakazi wa Airtel katika shamra shamra tamasha >maalum la watoto kuelekea kusheherekea sikukuu ya pasaka kwa michezo >mbali mbali kwa pamoja ambayo imefanyika katika kituo cha michezo ya >watoto kiitwacho Fun Sport ndani ya jengo la Qualty center Jijini >Dar-es-salaam kwa hisani ya Airtel. >
Meneja mauzo wa kampuni ya Airtel Tanzania Bi.Hilda Nakajumo akikata >keki kwa pamoja na Watoto wa wateja wa kampuni ya Airtel Tanzania na >watoto wa wafanyakazi wa Airtel katika shamra shamra za kuelekea >sikukuu ya pasaka ambapo watoto hao walipata nafasi ya kucheza >michezo mbali mbali kwa pamoja ambayo imefanyika katika kituo cha >michezo ya watoto kiitwacho Fun Sport ndani ya jengo la Qualty center >Jijini Dar-es-salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents