Burudani
A-Z yaliyojiri kwenye kesi ya Wema Sepetu Mahakama ya Kisutu leo (+Video)
Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu leo, Februari 8 mwaka huu imeendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo aliwasili mapema katika Mahakama hiyo; Tazama video hii uone Wema alivyotinga Mahakamani kwa madaha;