Habari
Aadhibiwa na chuo kwa kuvaa nusu uchi
Mwanafunzi mmoja kutoka chuo cha Makerere, nchini Uganda ameonja joto ya jiwe kwa kuadhibiwa na chuo hicho kutoka na uvaaji wake wa kihasara hasara.
Mwanafunzi huyo aitwaye Rebecca, ambaye yupo mwaka wa tatu akisomea Bachelor of Education, ameathibiwa kwa kukizalilisha chuo hicho kutokana na uvaaji wake wa nguo iliowacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake.
Picha ya mrembo huyo ilianza kuzagaa Mei 27 mwaka huu katika mitandao ya kijamii, baada ya picha hiyo kuwafikia wakuu wa chuo ndipo hatua za kinidhamu zikachukuliwa juu yake.
Soma barua.
Na Laila Sued