Habari
Abiria wanusurika kufa ajali ya gari
Abiria wa basi la kibiashara wanusurika kufa baada ya dereva kulivaa lori lililo beba matofali huko Nigeria Anambra.
Mmoja wa abiria, Amaka Cynthia alizituma picha za ajali hiyo katika kurasa yake ya instagram na kusema kuwa “Namshukuru Mungu kwa kuokoa maisha yao.”
Na Raheem Rajuu