Habari
ACT -Wazalendo waiomba serikali kuchunguza mishahara wanayolipwa wafanyakazi wa makampuni ya ulinzi (+video)
Chama cha ACT – Wazalendo chaiomba serikali kuchunguza mishahara wanayolipwa walinzi wa Makampuni ya ulinzi kwa kudai kuwa mishahara wanayolipwa ni ya udhalilishaji haifai kulipwa, Kau;i hiyo Imetolewa na Kaimu Katibu Mkuu, Ndugu Msafiri Mtemelwa wakati akizungumza na waandishi wa Habari leo.