Habari
Adam ala Shavu
Ni yule Adam (pichani kati kati) ambaye ni maarufu kwa utengenezaji wa video za bongo Flava
kupitia kampuni yake ya Visual Lab Next Level amekuja kivingine
Adam ameigiza katika tamthilia ya Changes ambayo itarushwa katika king’amuzi cha DSTV
Tamthilia hiyo ambayo imechezwa Kenya na wakenya wakiwa wametawala zaidi, itaanza kuoneshwa mwezi huu na itarushwa kila jumanne
Adam ameigiza kama Minja Kabwe katika tamthilia iyo ambayo ina maudhui ya mapenzi na ndoa kiujumla.