Michezo
Adebayor ajipeleka Juventus
Mshambuliji wa Man City Emmanueli Adebayor ameeleza anatamani kujaribu bahati yake katika ligi kuu ya Italia Series A na kuitaja klabu ya Juventus kuwa ndio chaguo lake la kwanza.
Ningependa kucheza Italia kwani ninajiona nitakuwa na wakati mzuri nitakapo chezea Juventus. Niliongea na Patrick Viera na alinieleza jinsi alivyo kuwa na msimu mzuri klabuni hapo.
Soka la Italia lina mbinu nyingi na ninapenda sana hali hiyo,