Burudani
Adili ndani ya Filamu
Mtayarishaji wa Filamu anayefanya vizuri na kampuni yake ya Chapakazi Films, Adili Hisabati, anauanza mwaka vyema kwa kuachia filamu inayokwenda kwa jina la Loleza ikiwa imesheheni vichwa kama Buff G, Mansu Li, Adili mwenyewe na mdogo wake Ibrahimu. Adili anasema si filamu ya kuikosa na itakuwa mitaani kuanzia mwezi wa pili