Burudani

Adili ndani ya Filamu

Image
Mtayarishaji wa Filamu anayefanya vizuri na kampuni yake ya Chapakazi Films, Adili Hisabati, anauanza mwaka vyema kwa kuachia filamu inayokwenda kwa jina la Loleza ikiwa imesheheni vichwa kama Buff G, Mansu Li, Adili mwenyewe na mdogo wake Ibrahimu. Adili anasema si filamu ya kuikosa na itakuwa mitaani kuanzia mwezi wa pili

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents