Burudani
Afande Sele afunguka “Kumtukana Diamond ni sawa na kuitukana Taifa Stars, unakatisha wengine tamaa” (+Video)
Mkongwe wa Hip hip kutoka maeneo ya Morogoro Afande Sele amefunguka mwanzo mwisho kuhusiana na jinsi Diamond anavyoendelea kuwasaidia vijana katika tasnia ya muziki.
Akiongea na Bongo 5 katika tamasha la Wasafi lililofanyika mkoani Morogoro na kusema kwamba “Kumtukana Diamond ni sawa na kuitukana taifa Stars maana anaiwakilisha nchini maeneo tofauti tofauti duniani”
Angalia mahojiano yake na Bongo5:-
By Ally Juma.