Ajali Tucson, Arizona
Inasemekana kuwa watanzania watano wamefariki dunia jana mchana
kutokana na ajali ya gari iliotokea jijini Tucson (Arizona), Marekani
Basi hilo ilikuwa na abiria 17, wengine 12 walipelekwa katika hospitali mbali mbali kutibiwa. Inasemekana kuwa basi hilo iliporomoka katika bonde ya Texas Canyon, polisi wanaendelea kupelelza chanzo cha ajali na kuwataarifu familia za marehemu.