Ajali ya Basi na Lori Tanga
Lori la Mafuta lenye namba za usajili T161ATX likiwa njiani mara baada ya kugongana na basi la HAJEES lililokuwa likitokea Dar kwenda Tanga ambalo liliacha njia maeneo ya Tengwe Mkoani Tanga.
Inasemekana kwamba basi liliacha njia na kulivaa lori, hadi sasa hatujajua idadi ya waliyojeruhiwa.
Poleni sana.