Habari
Ajali ya kusikitisha
Watanzania wapatao 25 wanasadikiwa kufa na wengine 17 kujeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la iliyotokea maeneo ya Kibaha Misugusugu mkoa wa pwani, likitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma .
Inasadikiwa ajali hiyo ya gari la kampuni Deluxe Coach, imesababishwa na kupasuka kwa gurudumu la mbele na kusababisha kupinduka, na hatmaye kuwaka moto kabisa.