Burudani

Akothee akumbuka mazito aliyopitia akiwa mhudumu wa hoteli

Kila aliyefanikiwa katika maisha fahamu kuwa safari yake ilikuwa ndefu na yenye vikwazo vingi. Akothee kutoka Kenya ni mmoja kati ya wasanii wa kike Afrika Mashariki waliofanikiwa zaidi lakini hawezi kusahamu mengi aliyoyapitia.

Kupitia mtandao wa Instagram, mama huyo mwenye watoto watano lakini anaonekana mwenye mvuto zaidi, amepost picha yake ya zamani aliyopiga miaka 11 iliyopita ikimuonyesha akiwa mjini Nairobi wakati akifanya kazi katika hoteli moja mjini hapo sehemu ya mapokezi na kuandika ujumbe ambao kwamwe hawezi kuusahau katika kazi yake hiyo.


Kupitia mtandao huo, Akothee ameandika:

Mmm this day was a mess in my life I was working as a receptionist in one of the conference hotels in Nairobi, this day was the day Tony nyadundo was performing @ city cabanas , lol I could not miss , so I risked & joined the party, we had staff quaters at the hotel so when I came back I was locked out , with one of my secret admires, messing it up , one of the clients checked out in my absence & left my secret admirer the balance for accommodation, sema ku sweat , the guy now had me in his palm , I begged him to give me the money to hand over & not to share it with our boss who was also a church representative & I was a choir member , his answer was (then give me ) so I asked how can I give you yet am married ) he said then am going to report you ) ooh shit , he was so irritating that I could not even imagine cheating on my husband with him , to make the matter worse he went reported me & I was demoted from being a receptionist to cleaning the toilets ????, my head was swollen for as long as I knew myself , & because of pride I decided to resign , my friend after 1 month I missed my job, I missed that 6000ksh I was earning every month but it was too late ??? isorait if I have to cheat then I will go for someone who will replace you if need be , not someone below the person am dating ???#principles #tbt2005 in 2016 I was looking for a properties in Nairobi only to land in the same hotel being on sale & given offer to purchase it ? #nevergiveup nilikuwa nimeparara kweli

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents