Burudani
Ali Keita in Tanzania
Msanii wa kimataifa Ali Keita kutoka Mali alitua nchini juzi na kufanya onyesho jana, jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Alliance Francaise. Keita alifanya warisha na wasanii mbalimbali wa hapa nchini Tanzania siku moja kabla ya kufanya onesho.
Keita ni msanii wa kimataifa anayejulikana kama Dobet Ganhore na Ganbe Brass Bendi anayeimba muziki ya ala na marimba yenye asili ya Kiivory Cost. Msanii huyo ambaye muziki wake una ala na midundo ya kiasili kama djembe na kora.
Kundi la musiki la Ten Family Group la hapa nchini walishirikiana kufanya onyesho la pamoja na Ali Keita kutoka Mali baada ya kufanya warisha siku moja kabla.