Michezo
Alichofanya Antonio Nugazi na Eng.Hersi Saidi kwa mashabiki (+Video)
Afisa Mhamasishaji wa klabu ya #yangasc @antonionugaz na Mkurugenzi wa uwekezaji Eng. Hersi Said @caamil_88 wakithibitisha ubora wa jezi yao mpya kwa kuivuta bila kuchanika kisha kuwarushia moja mashabiki wa #yangasc waliyofurika makao makuu hayo kama zawadi.
IMEANDIKWA NA HAMZA FUMO, INSTAGRAM @fumo255