Burudani
Alichofanya Harmonize wengi hawajatarajia – Madee (+Video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa MMB Madee amefunguka kuhusu Harmonize alivyoshuka katika dimba la Mkapa na kutoa burudani katika siku ya Mwananchi ya Yanga.
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa MMB Madee amefunguka kuhusu Harmonize alivyoshuka katika dimba la Mkapa na kutoa burudani katika siku ya Mwananchi ya Yanga.