Habari
Alichokiahidi aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kwa Rais Magufuli (+video)
Rais Magufuli leo amewapisha aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu, Simon Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi. Baada ya kuapisha wametoa ahidi kuwa waaminifu.