Burudani

Alichosema Haitham kuhusu wimbo wake na Wema Sepetu

Msanii wa Bongo Fleva, Haitham ameelezea jinsi alivyofanya kazi na mrembo Wema Sepetu.

Haitham ambaye amemshirikisha Wema Sepetu katika wimbo wake mpya ‘Play Boy’, ameiambia XXL ya Clouds FM kufanya kazi na Wema kumeongeza uzito wa jina lake.

“Toka nimetoa ngoma na Wema nimeona watu wamenipokea vizuri tena zaidi na zaidi lakini sio kwa sababu nimefanya na Wema pekee yake tu, kwa sababu ya muziki mzuri, watu pia wanasema muziki ni mzuri,” amesema  Haitham.

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents