Burudani
Alikiba aizungumzia picha yake aliyepiga na mnyama Simba iliyo trend (+Audio)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba amefunguka na kueleza kushangazwa na picha yake aliyopiga na mnyama Simba ku-trend kwenye mitandao msikilize akifunguka zaidi.
Akiongea katika kipindi cha LeoTena kinachoruka katika kituo cha CloudsFm @officialalikiba amezungumza haya:-
https://www.instagram.com/p/CGCjhJOB5cI/