Alikiba amesema kuwa muziki wa Bongo Flava umepungua kasi ‘Kuna watu wanaharibu muziki’
Msanii wa muziki nchini, Alikiba amesema kuwa mwendo wa muziki wa Bongo Flava umepungua kasi siku za hivi karibuni kutokana na kukosekana kwa tuzo ambazo zilikuwa zikichangia sana kuhamasisha Watanzania.
Alikiba anayetamba na kibao chake cha Mvumo wa Radi ameyasema hayo katika mahojiano na Azam Tv mwezi huu wa Agosti kupitia kipindi cha Nyundo ya Baruan.
”Mwendo wa muziki wa Bongo Flava unakwenda vizuri ijapokuwa kuna watu wanachanganya tu muziki na wengine wanaaribu muziki na wengine wanakwenda nao vizuri lakini hiyo pia siwezi kuichambua kwa sababu kila mtu anakipaji chake,” amesema Alikiba
Alikiba ameongeza ”Wengine wanafanya kwa kujifurahisha na wengine wanafanya kwaajili ya maisha yao lakini muziki kidogo umepungua nguvu.”
”Ninaimani kwa sababu ya tuzo za Tanzania zilikuwa zinawahamasisha sana watu, wasanii walikuwa wakifanya kazi vizuri na kwa bidii anaamini kwamba siku moja ataitwa na atapewa heshima unajua tuzo ni heshima tu.”
”Kwa hivyo changamoto kidogo imepungua, kasi imepungua ni kutokana na tuzo kwa vijana maana mtu anaweza kujitungia nyimbo yoyote ambayo haina kichwa wala miguu sababu hategemei chochote lakini pia kampuni yangu ya Mo Faya inamipango hiyo ya kuwahamasisha vijana kufanya tuzo baadae Insha allah.”
Mwanamuziki huyo anayefanya vizuri barani Afrika amesema kuwa wasanii anao wakubali kutoka katika bara hili ni Oliver Mtukudzi kutoka Zimbabwe na mama Yvonne Chaka Chaka wa Afrika Kusini.
Nakubaliana nae Kba
Kaishiwa
Kashindwa kazi
Mtu akichoka na kaz flan visa na maneno yanakua mengi
Ye mwenyewe ndo kapungua ,atutolee stress za mvumo wa radi.
HUYU siku hizi kapwaya kaz kulalamika Mara umesajiliwa coat Union, aah jipange upya braza
Kacheze mpira coastal union baba
Yeye ndio anaharibu kaenda kucheza mpira
Media ndio zimeharibu baada ya kuanza kubaguana
Upo sahih king
Mziki bado upo ila tunzo ni muhimu kbs
mmojawapo ni ali kiba
WCB wanaharibu mziki sana nyimbo zao azina kichwa Wala miguu
Kapige mpira hixo kazi ina.wenyewe. simbaaaaaaaaaaaaaa
Kiba si aimbe sasa kama yeye anajua? Wcb inahusiana na nini?
Huyo kiba kama mziki umemshinda asitafute kiki aende akapambane na kina kichuya huko wamfunze adabu
Pale unapokosa unachokitaka unasema sizitaki mbichi iz
Yaan Mziki wa siku hizi umekuwa fujoo..Mtu hakai kidogo akajipanga akaimba kitu kinchaoleweka badala yake amekurupuka na kutoa nyimbo kisa amfikie Fulan…Hii inachangia kuporomoka kwa radha ya Music…Nataman wale wasanii wa Zaman km kina Chid Benz Dully Embi Dog warudi kurejesha heshma ya Tansina yenu
mziki kipaji….uweleweki mala mpila mara mziki uko kund gani….ali kiba fuck and if you love alikiba fuck you too
Wew nenda kacheze mpira muzik umekushinda tulia Simba akuoneshe kazi ya muzik sio kuuza sura
Kamwe usitegemee kupata jino lenye hafia kwa mdomo uliye oza
W.C.B hauhusian na chochote kama kiba hawezi bora akae kimya
Hal ngum
Wew tulia muziki toka lini ukawa na kichwa na miguu muziki kazi muulize mbosso miziki mingapi kapewa ndinga WCB big up sana nyuma mwiko
Zilipendw fikra za kizee bba ivi ni mwendo wa album wew na kibamia Akili moja kibamia hana jipya ajalibu kweny mpira akishidw atuliy alitegemea tuzo za Tanzania yoooh ajifunz kupasuwa angaa
Wcb for life itawaburuza wakwanz naend kuchez mpira kisa amemezwa na wengin watakimbia kufany biashala bongo fleuva itabki wcb only kilichowalibu ao wenzetu tuzo za nyumbani tafut za kimataifa tizam wcb
Hanajipya amemezwa na simba akaamuw kwend kudunda mpira
Acha maneno kiba achia ngoma tu.
Acha maneno weka muziki
Tatzo unafiki
Acha maneno washa muziki
Wewe ndio unaharibu muziki kwa kutoa nyimbo mbovu!
Ye mwenyewe ndo no 1 kwa uhalibifu uo…
Ni kwel ukisemacho #kingKIBA now adays mziki wa bongo fleva umeshuka sana si kitambo kile japp wanajarbu ku umodifie kwa biti mbali mbali lakin wap. Wanaoharibu mziki huu ni wadau pia wa muzki, hasa ma underground producers sitowataja majina ila hawa madogo wana kopi sana beats na kusample biti za mbele yan kama “trap” beats sio asili yetu na cha ajabu hawafiki mbali. Mm naweza sema hata ma producers fake wanaharibu mziki utakuta anagonga biti zake chumban na kuanza kujiita producer, beats nyimbo znapgwa leo badae inakua kama big G yan…no flava sahv ni upuuz tu.
Nawasihi tuimbe kam harmonaize atarudi nyimbo mpk inauzunisha
Hahhaahaa
Sio mpila ni mpira
Mshamba tu huyo
Mziki umekuwa international hao kina kibamia,emb,na chid ndo wanapotea kwenye gemu mana hawezi change na soko la mziki dunian thus y wanatafuta kiki
Yan wew unaongea hivyo wakati dunian mziki unaopendwa ni trap ?na wasanii kibao wanaimba trap kama migos from america na wanakubalika,mim nawapongeza wasanii wa saivi kwasababu wanaendana na soko na ndo mana mzk upo kimataifa zaid sio kama zaman mzki unaishia east africa
ukitaka kujua maana ya maneno nenda kwa school coz me xo teacher ….. cfundixhi watu kuandika sentens za maneno meme sorry shangaz
BASATA
Hao uliowataja walifika wapi kimuziki ili wawe mfano wa kuigwa!!!
Frank Keyce wewe trap sio mziki wako kama asili yako japo tunaenda kwa utandawazi kwa sawa lkn kumbka ata hao wanapndasikilizaladha mpya sio una kop kop flava sawa…..ushawai ona wahindi wanafanya trap unaosema unakubalika kidunia na dunia ya nan??unaongea nini ndgu una jua mana ya originality flava ww
Wewe ndio umepungua kasi sio wenzio,wenzako wanapasua Anga tu.
Frank Keyce yan wewe jamaa sishan kama unajua muziki…. kama mziki unaopendwa dunia trap…..kwa maneno yako taja jina la msanii wa bongo aliyefanya hzo trap akakiki taja ata mmoja sahv
Kwa komenti hii inaonesha ata uelewa wako darasan na elimu uliyoipata ata shule ya msingi haijakusaidia……hujuinmatamshi we bado kolo wa kiswahili sana tofautisha kati ya R na L sawa rud darasani kijana…..sio mpila ni #mpira
Hana lolote huyo mbinu za kushndwa
Mwanangu wakati unaandika ulikua umekalia mboo ndo maana unapayuka
Yeye ndoa anaharibub #MZIKI Atulie wafanye Kazi wengine ye aanze biashara na #MPIRA
Muda wake umekwisha
Wanaharibu afu ndo wanapiga hela
Niko msumbiji
Kila nipitako kwenye ma baa na bottlestore ni wcb
Yani nikiweka nyimbo ya kiba watu wararamika towa iyo weka chibu yani nashindwa kuelewa
….
Muongo, hata kama hatuna vipaji hatujui kuimba ila hapo umeongopa.
Kina coutry boy ,chin bees,wapo wengi hadi msanii wa kenya kaligraph kaamia kwenye trap from hiphop
Afu wew unazingua sasa wahind toka lin wakasikiliza mziki wa western wale wanamziki wao
Trap inakuwa kwa kasi koz wasanii wa hiphop wakubwa duniani wanaimba trap saiv ,afu still hitsongs nying dunian ni trap look panda by designer,gucci gang by lil pump etc
Frank Keyce na sisis tuna muziki wetu wewe unaongelea mziki wa western ule ni mziki wa asili yakwao kwan ww ni muWestern ama wewe si mtanzania east africa ama unaijisaulisha wewe nan hujitambui ama
Frank Keyce jamaa namashaka na kuelewa kwako
Adam Idrisha atakua aliikalia huyo au uliichuchumia
Kwan mziki dunian saiv hatuangalii asili sisi tunaangalia mziki upi bora na unakubalika na upo sokon tukibaki kuangalia asili mzki wetu hautatoka
Lakin hayo ndio maono yake wadau lakin najiuliza kama anadai mzki umeshuka c aupandishe iv c ndio huyu huyu anajisfu kuwa yeye ndio yeye au mekosea??
Frank Keyce wewe umezaliwa mwaka gan??
We kama ni asili mbona jlo ameamua kutoa wimbo wa kiispaniola wakati sio asili yake ? Sababu ni kwamba aliona mziki unaouza sana ni wa kispaniola ndo mana kafanya hivyo ,kwahyo jamaa angu usikariri asili wew angalia mziki unampa nin msanii baada ya kuimba
Mim ndo namashaka na uelewa wako mana unaropoka kiushabiki kumuangalia alikiba ,u talking shit
Frank Keyce 😁😁😁 watoto wa 96/97/98/95, 2000’s bado hamjui mzk wa bongo flava wap umeanzia…..sibishan na rika la kitoto kama lako, kabishane na watoto wenzio kijiweni eka pumbu zako chini zngumza nao
Kuuliza mwaka wangu haiusian na mzk
Frank Keyce nauliza mwaka wako ndipo npate picha ww bongo flava lini umeanza skiliza kipnd kip bado wewe mtoto hata sura yako ya kichumba bado, kacheze uko unapochezaga ukirud oga usubir ugali wa baba ukalale
WCB FOR LIFE HAWATOWEZAAAAAAAAAAA
Baba Game Gumu kubali yaishe unatoa nyimbo 1 kwa Mwaka unataka Mashabiki tukusubili wakati wenzio wanatoa Bampa To Bampa 😝😂
nashangaa wasenge wawili wanaungana kunitukana meme,,,,,!!
Sio mziki umeshuka yeye ndie kafulia watu wanapata tuzo za kimataifa yeye anaongea upuuzi kachina Hugo hana jipya kwanza hajielewi amechemka kwa mond analeta visingizio
Sio mziki umeshuka yeye ndie kafulia watu wanapata tuzo za kimataifa yeye anaongea upuuzi kachina Hugo hana jipya kwanza hajielewi amechemka kwa mond analeta visingizio
Ligi ikiisha wakishuka daraja utasikia anasema ligi imeshuka
MSHIKA MBILI MOJA HUMPONYOKA KWA UMRI HUO UNACHEZA MPIRA UFIKE WAPI SASA AU NDIO KIKI ZENYEWE HIZO
Yeye ndio kapungua kasi. Aendelee tu kucheza soka acha wenzie waimbe
Akiwemo n yeye
Sema umekushinda we cheza mpira tu
ni kweli usemacho #kingkiba
Jibebe
We ndio umepungua kas,wenye kukaza wanatusua tu
Deogratius E Kikwasi Jr. Bro kwani mziki wako wewe ni upi
Umekosea hajawahi sema hio kauli ali
Kweli mara basata dah
Maneno ya Mkosaji utayaskia tuu
Muziki siku hizi umekuwa ni biashara kubwa na biashara ili ifanikiwe sidhani kama inahitaji ukabila au asili ya watu fulani ili itoke inabidi iwe na muonekano kwa wengi ili iweze kusonga mbele.
Mpaka sasa wanaimba ila nafasi zao zilishapita sijui na wao watakuwa hawaeleweki?!!
Tunaelekea pabaya kaka deogratius
Toz B Wamasaki sawa mekuelewa
🤰
___________________
usihangaike tena na tiba
Isiyorafiki kwa tatizo lako
la;
.
#KUTOKA_UCHAFU_UKENI
#HARUFU_MBAYA_UKENI
#MIMBA_KUHARIBIKA
#UVIMBE_TUMBONI
#MIWASHO_UKENI
#KUKOSA_MTOTO
#FANGUS_SUGU
#U.T.I_SUGU
#P.I.D
__________________
Tiba zetu zote ni asilia.
Tumehudumia wat wengi,
na wameshapona kabisa.
.
Follow page yetu ya tiba
@uti_pid_fangus_uzazi
@uti_pid_fangus_uzazi
__________________
.
Piga #0746774055
Simba buluza haoo washkubal kaka ila hawt kuweka wz 2
Hopefully he is
Muongo
trap is not hip hop trap is a shit music
well kid fuck yoo too ….middle finger
ye ndo kapungua kas
jibebe
Mo fala kwaio kama ww msanii imba uupandishe huo mziki
sikweli, mziki ndio umekua, kwa mara ya kwanza tunapitwa na nigeria ktk afrika na tunaongoza afrika mashariki ndio maana nchi kama madagascar pamoja na kuongea kifaransa bado wanajaa uwanjan kuckiliza mziki na hakuna kipindi ambacho mziki umepanda juu kama mda huu
Frank Keyce na tunapoelekea ni pazur zaid pia
Ww baki fuck na usenge wako uo wenzk wana make ww utabaki kumbwela kama asemavo nash mc
Hana jipya
Umri sio sababu mtu anaweza akawa amezaliwa 97 lkn mwingne87 ila wa 97 akawa anajua bongo fleva zaid ya huyo mkubwa maana haya mambo ni ufuatilaj tu
Apambane na hali yake
Awe mchambuzi wa soka tu
hyo ni qweli
Tanzania Kama kunamziki Ni WCB
ALIKIBA alikosa kitu chakuhongeya ,Sasa ivi ,wamarekani wanakiri kwamba Tanzania iko fresh
Atachekwa na mashabiki wake ,