Burudani

Alikiba ashirikishwa kwenye album ya ‘Chulo Vibes’ ya msanii Timaya kutoka Nigeria

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba ametokea kwenye album fupi ‘EP’ ya msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Timaya.

EP hiyo ina ngoma 9 na inatarajiwa kuachiwa leo Februari 8, 2019 kwenye platform mbalimbali mtandaoni.

Wasanii wengine wakubwa walioshirikishwa kwenye album hiyo, ni Burna Boy .

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents