Burudani

Alikiba atumbuiza kwenye Mkhaya Migrants Awards, Afrika Kusini

Fresh kutoka kuchukua tuzo tatu za EATV Awards, Jumamosi hii, Alikiba alikwea pipa hadi jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenda kutumbuiza kwenye, Mkhaya Migrants Awards. Zimetolewa Jumapili hii.

mkhaya

Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini kuwatuza wahamiaji wanaofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali nchini humo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents