Burudani
Alikiba azungumza kuhusu Harmonize kumfollow Instagram na sababu ya kutosalimiana nae – Video
Alikiba azungumza kuhusu Harmonize kumfollow Instagram na sababu ya kutosalimiana nae - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ali Salehe Kiba alimaarufu Ali Kiba amefunguka kuhusu baadhi ya maswali ambayo watu walikuwa wanajiuliza sana kwenye mitandao ya kijamii pia kuonekana hayuko sawa na baadhi ya wasanii.
akiongea katika kipindi cha Playlist kinachoruka TimesFm na lkuulizwa maswali mengi hasa kuhusu msanii aliyokuwa WCB Harmonize kuhusu kumfollow huku yeye hajamfollow lakini pia kuna siku walikutana na walionekana kutosalimiana nae, Alikiba amefunguka haya:-
https://www.instagram.com/p/B5Foh88hoeE/
By Ally Juma.