Burudani

Alikiba kulipua ‘bomu’ lingine Ijumaa hii (Feb.27) ‘Cheketua’

Baada ya mwaka jana 2014 kuuvunja ukimya uliotawala kwa miaka mingi kwa kuachia single ya ‘Mwana’, Alikiba anategemea kutoa wimbo wake mpya wa 2015.

cheketua

Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Alikiba ameshare cover za wimbo mpya uitwao ‘Chekecha Cheketua’ unaotarajiwa kutoka Ijumaa Feb 27. Wimbo huo umefanyika kwenye studio ya Combinenga chini ya producer Man Water.

Chekecha2

Kutokana na ukubwa alionao na cheo cha ‘ufale’ ambacho amejipa, maswali ambayo mashabiki wengi wanajiuliza ni je ngoma hiyo itafanikiwa kuizidi ‘Mwana’?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents