Burudani
Allan Mapigo na maproducer katika Miaka 50 ya uhuru
[youtube]http://www.youtube.com/watch?v=XAkZ-4jde8I[/youtube]
Producer kutoka akatika studio ya kutengeneza muziki ya metro, Allam Mapigo Shentee, ameamua kufunguka ukweli juu ya Miaka 50 ya Uhuru na mwelekeo wa muziki wa Bongo Fleva hususani upande wa Maproducer, huku akiwa husisha wasanii wachache. pia amedokezea kidogo kuhusu malengo yake ifikapo mwakani tutapokuwa tunaanza miaka mingine 50.
Huyu ndiye Producer anayetamba sana kwenye ngoma za bendi kama ngwasuma…
Hebu msikilize Mwenyewe…