Burudani

Amber Lulu kuwa bosi

Video Queen kutoka Bongo, Amber Lulu amebainisha yupo mbioni kufungua kampuni yake kwa ajili ya kuwasimamia warembo watakao tumika katika video za wasanii.

Amber Lulu

Akipiga stori na Clouds Fm, Amber Lulu amesema warembo wao pia atakuwa akiwatumia katika video zake.

“Kwa hiyo mimi nitakuwa bosi wao, kampuni itakuwa na warembo 10, so soon itafunguliwa kwa sababu warembo tayari wapo. Kwa sababu mara nyingi nimeona wasani wanasumbuka, nimekuwa nikipata simu zao wanatafuta mavideo Queen,” ameeleza Amber Lulu.

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents