Burudani

Amber Rose amjibu Kanye West aliyedai ilimbidi aoge ‘mara 30’ kabla ya kupewa tunda na Kim Kardashian

Amber Rose hajafurahishwa na kauli ya boyfriend wake wa zamani Kanye West aliyemdiss kwenye show ya “The Breakfast Club.” Kanye alidai kuwa ilimbidi aoge mara 30 ili kulala na Kim Kardashian.

kanye-amber

Mapema wiki hii, Amber na Khloe Kardashian, mdogo wake Kim, walirushiana vijembe kwenye Twitter baada ya Amber kusema “Tyga should be ashamed of himself” kwa kumwacha mchumba wake Blac Chyna na kwenda kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim mwingine, Kylie Jenner mwenye umri wa miaka 17.

“Please stop talking about us in interviews mama. None of us talk about you,” alijibu Khloe, huku Amber akijibu, ‘U think because ur dad was a professional football player that got away with murder ur better than me girl? Haaaaannnnn?’

Ijumaa hii, Kanye alimtetea mke wake na kumponda Amber kwenye interview hiyo:

“If Kim had first dated me when I wanted to be with her, there wouldn’t be an Amber Rose” alisema Kanye. “It’s very hard for a woman to wanna be with someone that’s with Amber Rose. I had to take 30 showers before I got with Kim.”

Kauli hiyo imemfanya Amber amjibu Kanye kwenye Twitter:

Wait 30 showers? But Kim let RayJ nut on her…. Never mind. @kanyewest This is my moment to let the world know who u really are and the things you’ve done to me. After all these years I never snitched on u and I don’t plan on starting now. We once loved each other so I won’t do u like that. I’ll leave that up to the Kartrashians to humiliate u when they’re done with u. I’m always so quiet and just a cool fun girl. The funny thing is I’m all for a woman making something out of nothing. Ppl make mistakes in life trust me I have. But when u bully other ppl and ur not perfect it’s so fucked. I own up to every piece of my life.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents