Burudani

Amber Rose ashindwa kuvumilia kwa 21 Savage, aandika barua yenye ujumbe mzito

Amber Rose ameamua kuweka wazi upendo wake kwa rapper 21 Savage ikiwa ni miezi michache imepita tangu walipodaiwa kuachana.

Mrembo huyo ametumia mtandao wa Instagram kuandika ujumbe mrefu ambao unaonyesha ni kiasi gani anamzimia rapper huyo kutokana na upendo wake kwa mwanae Sebastian na anavyomuunga mkono kwenye shughuli zake nyingine.

Lakini pia kwenye barua hiyo Amber amekanusha juu ya uvumi kuwa anamahusiano na kidume mwingine na ameweka wazi kuwa bado ana upendo na Savage ambaye jina lake halisi ni Shayaa Bin Abraham-Joseph. Soma ujumbe huo hapa chini.

I Love this man so much. I know the Internet portrays me to be some heartless person or they feel like I’m incapable of love but I love him so hard. He is not only one of the most talented people I have ever met but he is so real, humble and smart as hell. I don’t care who you see me in a picture with or who the Internet associates me with because The Internet is fake af and they pull stories out of their asses for click bait. It’s the price of fame I guess but it’s not real life because in real life Shayaa is my heart and soul. He’s the only one that has ever supported my Slutwalk and my feminist views with no fucks given. He loves my son and I love his Three beautiful children so much. God brings people in ur life for a reason and God brought me him. I don’t care if you call me Thirsty, a hoe, a gold digger or whatever df else. I love him. Put ur pride to the side and tell the person you really love how much they mean to you today because life is too short to care about what anyone else says ❤️

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents