Burudani
Andrew akamilisha albamu ya Injili
Mwanamuziki na mtengenezaji muziki Andrew, kutoka studio ya lounches anatarajia kuachia albamu yake ya muziki wa injili ambayo ameshaikamilisha hivi karibuni ambayo inaitwa Maisha ya Masikitiko.
Muandaji huyo wa muziki anasema albamu hiyo itakuwa imesheheni, nyimbo mbalimbali ambazo anamiini ]zitakuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wake wa injili.
Producer Andrew akiwa na wasanii wake wakipiga picha ya pamoja wakiwa studio.
Andrew akiwa anatengeneza nyimbo.