Burudani
Angelina Jolie kuhutubia kongamano nchini Kenya
Muigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani, Angelina Jolie atua nchini Kenya na anatarajiwa kuhutubia kongamano la kukabiliana na dhuluma za kingono.
Kongamano hilo limeandaliwa na jeshi la Uingereza la kukabiliana na dhulma za kingono wakati wa mapambano ya kivita.
Angelina Jolie na Mohamed Affey
Angelina Jolie na Nuur Mohamud Sheekh
Angelina Jolie aliwahi kuwa mke wa muigizaji Brad Pitt ambaye walianza mahusiano mwaka 2004 na kupata watto wanne na wengine wawili wamewaasili.
Na Laila Sued