Anna Wilboard Ndiye Miss Kigoma
Jana usiku ilikuwa fainali ya kumpata Miss Kigoma ambapo mshindi wa Jumla alikuwa bibie Anna Wilboard kati kati na mshindo wa pili alikuwa Suzana Gregory na watatu anaitwa Justina.
Shindano la kumpata mrembo huyo lilifanyika katika ukumbi wa kibo Peak na burudani ya usiku huo ilityolewa na msanii Baba Levo.
Shukurani kutoka kwa Mdau wetu Edith Kimaro kwa picha na maelezo