Michezo

Anthony Martial: Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Manchester United kutoka Monaco

Klabu ya Manchester United ilifanikiwa kufanya usajili wa dakika za mwisho kabla ya dirisha la usajili kufungwa na kumnyakua mshambuliaji mpya.

Anthony

Mshambuliaji huyo ni Anthony Martial, mwenye miaka 21 na raia wa Ufaransa aliyekiwa katika klabu ya AS Monaco ya Ligue 1. Amesajiliwa kwa kiasi cha £36m.

2BE1CFA800000578-3218622-image-a-30_1441126362586

United walikuwa wakitafuta mshambuliaji wa kumsaidia Wayne Rooney na kocha Louis Van Gaal aliahidi kusajili mshambuliaji kabla ya dirisha la usajili kufungwa. Haikujulikana ni mshambuliaji gani hasa ingemsajili lakini bahati ikawa ya kinda huyo.

IMG_7829

Van Gaal amesema haya kuhusu huyu mchezaji huyo:

Anthony ana kipaji cha asili, mdogo, foward mwenye uwezo wa aina tofauti uwanjani. Tulikuwa tunamuangalia kwa muda mrefu na ameendelea kuwa mchezaji mzuri ndani ya AS Monaco. Nina furaha amejiunga nasi nikiamini hii ni club bora kwake kuendelea kuwa mchezaji bora zaidi duniani. Anthony ana uwezo wa kuwa mchezaji bora kabisa kwenye ligi ya EPL japokuwa tunahitaji kumpa muda wa kuzoea mazingira ya ligi hii.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents