Michezo

Arsenal wamtangaza rasmi Unai Emery kumrithi Wenger

Klabu ya Arsenal imemtangaza Unai Emery kuwa kocha wao mpya ambaye anarithi mikoba ya Arsene Wenger.

Arsenal wamethibitisha kumsajili Unai ambaye alikuwa kocha wa PSG kwa misimu miwili iliyopita.

“Our new head coach. Together, let’s make this era a special one #WelcomeUnai,” wameandika Arsenal kwenye mitandao hiyo.

Unai amedaiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu wa kuifundisha timu hiyo ambapo atakuwa akilipwa mshahara wa paundi mlioni tano kila mwaka.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents