Michezo
Arsenal yakamilisha usajili wa Granit Xhaka
Klabu ya Arsenal imefanya usajili wa kiungo mpya wa Granit Xhaka kwa usajili wa Pauni Milioni 35 kutoka Borussia Monchengladbach ya Ujerumani atakuwa akichukua mshahara wa pauni 110,000 kwa wiki amesain mkataba wa miaka mitano.