Habari
Arusha: Soko la Samunge lateketea kwa Moto
Soko la NMC Arusha maarufu kama Samunge linalokadiriwa kuwa na zaidi ya wafanyabiasha 2000 limetekekea kwa moto usiku wa kuamkia leo Machi 29, 2020.
Kwa mujibu wa Azam Tv, Moto huo umedhibitiwa lakini ukiwa umeunguza sehemu kubwa ya soko hilo, huku chanzo na hasra bado havijafahamika.