Habari
Askari waliodiwa wamelewa waua watu 12 DRC
Askari waliokuwa wamelewa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamemimina risasi na kuua watu 12 na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Mmoja wa wahanga anaripotiwa kuwa mtoto wa miaka miwili. Mauaji hayo yalitokea Alhamisi katika jimbo la Kivu kusini mashariki mwa nchi hiyo
Kumekuwa na waandamanaji wenye hasira dhidi jeshi la Kongo katika mji wa Sange, eneo ambalo barabara nyingi zilikuwa zimefugwa.
https://www.youtube.com/watch?v=K5z-qE25uZI
https://www.youtube.com/watch?v=2E2y-yj4cEg
https://www.youtube.com/watch?v=BbycVcnoEzQ