Muziki
Audio: Baada ya kutoka jela Ja Rule aachia wimbo mpya ‘Fresh Out The Pen’
Hivi karibuni Ja Rule baada ya kumaliza kutumikia kifungo chake na kuachiwa huru aliahidi kufanya ‘come back’ katika muziki, ahadi ambayo ameitimiza kwa kuachia wimbo mpya ‘Fresh Out The Pen’.
Isikilize
[soundcloud url=”http://api.soundcloud.com/tracks/111229167″ params=”” width=” 100%” height=”166″ iframe=”true” /]