Burudani
Audio: BASATA wafunguka ishu ya taarifa za kumchukulia hatua za kinidhamu Harmonize
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limezungumzia juu ya taarifa zilizozagaa kuhusiana na kumchukulia hatua za kinidhamu msanii wa muziki wa WBC, Harmonize na kusema kuwa hazina ukweli wowote.