Videos

Tazama VIDEO:Mh. Serukamba alipotumia the F* Word bungeni

Siku za hivi karibuni tumeona bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likichukua sura mpya pale ambapo wabunge wachache wamekumbwa na kashfa ya kutumia lugha isiyo sahihi na inayoendana na maadili ya bunge hilo.

Mapema jana, mbunge wa Kigoma Mjini (CCM) Mh. Peter Serukamba aliponyokwa na tusi la F* you akiwa amechukizwa na mbunge mwenziye kuingilia hoja yake aliyokua anachangia.

Sikiliza audio yake hapa:

Inasemekana Mh. Serukamba ameshaomba radhi kwa tukio hili.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents