Burudani
Audio: Tulichowekeza kwa Rich Mavoko bado hakijarudi hata robo – Sallam SK
Meneja wa WCB, Sallam SK amefunguka kwa kudai kwamba pesa ambayo wamewekeza kwa msanii Rich Mavoko bado haijarudi huku akidai hata yeye hajui kitu ambacho kimemfanya muimbaji huyo kwenda kulalamika Basata.
Muimbaji huyo ambaye yupo chini ya WCB, wiki iliyopita alienda Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulalamikia mkataba wake aliosaini na label hiyo kubwa ya muziki nchini Tanzania.
Akiongea na The Playlist ya Times FM Jumatano hii, Sallam SK amedai kwamba mpaka sasa pesa ambayo wamewekeza kwa muimbaji huyo katika project zilizotoka haijarudi hata robo.
“Pesa ambayo tumekeza kwa Rich Mavoko haijarudi hata robo,” alisema Sallam.
Maana mlizichukua nymbo zake zote mwimbe nyinyi…
Sio kweli
Alipe hela kabla ya kujikata.
Mkataba huwa ni makubaliano kati ya pande mbili au zaidi na kila upande huwa unasoma/kusikiliza vigezo na mashariti vya mkataba kisha ndo unatia sign. Na ikitokea upande mmojawapo ukakiuka mkataba basi uko responsible kulipa gharama na usumbufu utakaojitokeza.Kwa hiyo kama #RuchMavoko anataka kuvunja mkataba awe tiyari kulipa gharama zote.
Hii habar naiona kila cku inapigwa danadana tu hakuna kinachoelewaka “” kwan kuvunja mkataba mpaka uludishe gharama zote ulizogharamiwa!?
iyo lazima mzee ndivyo mikataba ilivyo kaka…labda tu waongee kishkaji wasiende kisheria
Pw
Sa kila ck propozo tu hakuna kinachoeleweka ‘sometimes uuzaji wa view huu…!!
bongo flava ya ajabu utashangaa ni kiki maaamae ntaacha kabisa kushabikia mziki wa bongo kaka hahaha
Unalikumbuka la zari na mond kuachana!?
Mwisho wa cku watu wakashangaa mtu wamuona kwny kichupa cha mond tena wakat ilivuma, ooh mond na zari ndo basi ‘umeona upuuz wao hawa watu…
Mambo yaishe jaman wcb forlife
Alipe ghalama zetu then asepe.
Umechangia shs ngapi wewe😂😁😀
Sisi ni members hivyo tunamchango wetu wcb
Na je Kama yy hajatekelezewa Yale yaliyomo kwenye mkataba
Muteva’s Munong’one Kama WCB wamekiuka mkataba basi nao wawajibike.
Philipo GK OK Poa Sasa hapa naona tusihukumu upande mmoja Kuonekana mavoko ni mkosaji Pekee yake
Apo ubinadam huu sike
Duuuu
Wcb wamuache uyo jamaa…Aende isije ikawa sababu
SIKU NYINGINE MUSIKILIZE INTERVIEW
TULIOSIKILIZA INTERVIEW TUMEELEWA KILA KITU
Xhauliyenuuuuu muacheni mwenzenu hataki kupigwa mtiii
Interview ya kuhusu nn, funguka joh!?
Ghalama zipi we bwege we mwanzo uso unakaa heri kweli
kichupa kilikua kipondan kabla awajachana boss kwahyo usishangae kumuona zari mule
Eti ni member,nimechekaa kwa kweli
analipa nini anayo haki ya kutoka…. Wcb hamtishi mavoko na hamuwezi kipaji chake ikiwepo diamond… Hamtutishi
Hahaha labda