Mahojiano

Aunt Ezekiel aeleza furaha yake baada ya Waziri Mkuu kumuulizia maonyesho ya Sabasaba (+Video)

Msanii wa Bongo Movie na mjasiriamali @auntyezekiel amefunguka kuhusu mimba yake na kueleza muhusika wa mimba hiyo baada ya kuulizwa ni ya @_kusah_ au @moseiyobo

Mbali na hilo Aunt Ezekiel ambaye ni mmoja ya wasanii walioweka mabanda katika maonyesho ya Sabasaba ameeleza furaha yake baada ya Waziri mKuu kumuulizia ingawa yeye hakuwepo na kuachiwa ujumbe kuwa asalimiwe.

 

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents