JPM: Nimepatwa na uchungu, majonzi makubwa ninapoyaona majeneza
Habari
May 8, 2017 - 2:10 pm
JPM: Nimepatwa na uchungu, majonzi makubwa ninapoyaona majeneza
Rais John Magufuli amesema kuwa amepatwa na uchungu na majonzi makubwa alipoona majeneza ya watoto na walezi wao waliopoteza maisha…
Waliondoka ni malaika ambao hawana hatia – Mh. Samia Suluhu
Habari
May 8, 2017 - 2:05 pm
Waliondoka ni malaika ambao hawana hatia – Mh. Samia Suluhu
Makamu wa Rais Mama Samia Hassan Suluhu amesema wanafunzi wa shule Lucky Vicent waliofariki kwa ajili juzi ni malaika ambao…
Picha: Umati uliojitokeza kuaga miili ya watoto Arusha
Habari
May 8, 2017 - 1:04 pm
Picha: Umati uliojitokeza kuaga miili ya watoto Arusha
Ikiwa leo ndio miili ya wanafunzi wa shule Lucky Vicent inaagwa mkoani Arusha katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, tumekusongezea…
Beef ya Lil Wayne na Birdman kwisha?
Burudani
May 8, 2017 - 12:30 pm
Beef ya Lil Wayne na Birdman kwisha?
Rapa asieishiwa na fujo kila wakati kutokea Marekani Lil Wayne ameamua kumchkoza upya CEO wa “Cash Money”, ambaye ni boss…
Samatta aipatia ushindi KRC Genk
Michezo
May 8, 2017 - 12:24 pm
Samatta aipatia ushindi KRC Genk
Usiku wa Mei 7, 2017 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta aliifungia timu yake ya Genk goli moja na…
Mtoto aliyefariki Arusha alinusurika bomu 2013
Uncategorized
May 8, 2017 - 12:20 pm
Mtoto aliyefariki Arusha alinusurika bomu 2013
MTOTO aliyejeruhiwa kwa bomu lililorushwa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Olasiti miaka minne iliyopita, Arnold Alex amefariki dunia kwa…
‘Nundu’ ya Hamorapa kudondoka leo
Burudani
May 8, 2017 - 12:09 pm
‘Nundu’ ya Hamorapa kudondoka leo
Msanii wa muziki bongo Harmorapa anatarajia kuachia ngoma yake mpya siku ya leo iitwayo Nundu aliofanya na producer Ronei. Harmo,…
Nick Minaji awalipia ada shabiki zake wa twitter
Burudani
May 8, 2017 - 12:07 pm
Nick Minaji awalipia ada shabiki zake wa twitter
Mwanadada Nick Minaj atekeleza ahadi aliyoitoa kwa shabiki zake kwa kulipa ada za shule. Nicki alianzisha shindano la kukutana na…
Idris: Ni machache nisiyoweza kuyasema… chozi kunitoka
Burudani
May 8, 2017 - 11:51 am
Idris: Ni machache nisiyoweza kuyasema… chozi kunitoka
Mchekeshaji Idris Sultan ameandika ujumbe mrefu na kuelezea hisia zake kuhusu vifo vya wanafunzi zaidi ya 30 wa shule ya…
Wabunge watoa milioni 200 kwenda kwa wafiwa Arusha
Siasa
May 8, 2017 - 10:35 am
Wabunge watoa milioni 200 kwenda kwa wafiwa Arusha
Leo mapema Bungeni, Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekubaliana kwa kauli moja kuwa posho za kila…
Hiki ndicho kinamuweka ‘busy’ Rich Mavoko
Burudani
May 8, 2017 - 10:30 am
Hiki ndicho kinamuweka ‘busy’ Rich Mavoko
Msanii Rich Mavoko kutoka lebo ya WCB, amesema kitu ambacho kinachukua muda wake mwingi kwa sasa ni maandalizi ya albam…
Raia wa Marekani akamatwa Korea Kaskazini
Habari
May 8, 2017 - 10:03 am
Raia wa Marekani akamatwa Korea Kaskazini
Kim Hak-song ndiye raia wa nne wa Marekani mpaka sasa kukamatwa nchini Korea Kaskazini kwa makosa mabali mbali. Kim Hak-song…
Chama cha riadha chatoa pole kwa wafiwa Arusha
Michezo
May 8, 2017 - 9:33 am
Chama cha riadha chatoa pole kwa wafiwa Arusha
Juzi ilikuwa “The Dark Saturday” kufuatia ajali mbaya iliyogharimu maisha ya watoto wengi in a matter of minutes if not…
Rais wa Nigeria arejea Uingereza kwa matibabau
Habari
May 8, 2017 - 9:31 am
Rais wa Nigeria arejea Uingereza kwa matibabau
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari, amerejea tena nchini Uingereza ili aweze kupatiwa matibabu upya ya maradhi ambayo bado hayajajulikana yanatokana…
TFF: Yatoa rambi rambi kwa wafiwa wa Arusha
Michezo
May 8, 2017 - 9:13 am
TFF: Yatoa rambi rambi kwa wafiwa wa Arusha
Shirikisho la soka Tanzania (TFF), limetoa rambirambi ya Sh 500,000 kwa walengwa walipoteza watoto katika ajali ya gari iliyoua zaidi…