Video ya Zigo Remix ruksa kuchezwa usiku – TCRA
Burudani
February 22, 2016 - 6:24 pm
Video ya Zigo Remix ruksa kuchezwa usiku – TCRA
Weka mbali na watoto, video ya Zigo Remix ya AY aliomshirikisha Diamond Platnumz, ruksa kuchezwa usiku kwa mujibu wa mamlaka…
Nuh Mziwanda adai Shilole alikuwa anampoteza na hakupenda afanikiwe
Burudani
February 22, 2016 - 6:00 pm
Nuh Mziwanda adai Shilole alikuwa anampoteza na hakupenda afanikiwe
Nuh Mziwanda amedai kuwa Shilole hakuwa mwanamke aliyekuwa akimshauri mambo ya msingi. Akiongea na Clouds FM, Nuh amedai kuwa ex…
Picha: Mrembo huyu ana hips kubwa na umbo la kuvutia kuliko wote Kenya?
Burudani
February 22, 2016 - 4:00 pm
Picha: Mrembo huyu ana hips kubwa na umbo la kuvutia kuliko wote Kenya?
Ana umbo namba nane anawachanganya… Ama kama alivyosema Diamond kwenye Zigo Remix – Usiombe akapita na khanga, nyuma figusu majanga,…
Picha: Dina Marious azindua jarida la ‘Mtoto’
Habari
February 22, 2016 - 2:00 pm
Picha: Dina Marious azindua jarida la ‘Mtoto’
Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious amezindua jarida lake la Mtoto. Dina akiwa na mtoto wake, Zion…
New Music: Pink f/ Mr Blue – Music
Burudani
February 22, 2016 - 1:39 pm
New Music: Pink f/ Mr Blue – Music
Ngoma mpya ya rapper chipukizi wa kike, Pink aliyomshirikisha Mr Blue ‘Music.’ Wimbo umetayarishwa na Producer Mbezi wa Style Records.
Mange amshauri Wema aachane na wanaume wanaoshinda Instagram, Idris ammind, soma alichomjibu
Burudani
February 22, 2016 - 1:30 pm
Mange amshauri Wema aachane na wanaume wanaoshinda Instagram, Idris ammind, soma alichomjibu
Malkia wa controversy, Mange Kimambi yupo shingoni mwa Idris Sultan akimuelezea kuwa miongoni mwa ‘these young guys wanaoshinda kwenye social…
Avril’s relationship drama: Did she really get dumped on Valentine’s Day? #PoleAvril
Burudani
February 22, 2016 - 12:23 pm
Avril’s relationship drama: Did she really get dumped on Valentine’s Day? #PoleAvril
It has been a week after I started seeing so many posts on Twitter with a hashtag #PoleAvril. Some are…
Phil Collins kufunga ndoa tena na mke wake baada ya kupeana talaka mwaka 2008!
Burudani
February 22, 2016 - 12:00 pm
Phil Collins kufunga ndoa tena na mke wake baada ya kupeana talaka mwaka 2008!
Muimbaji wa Uingereza, Phil Collins amerudiana na mke wake na wanatarajia kuoana tena. “Kuachana kwetu ulikuwa ni uamuzi mbaya,” Orianne…
Ne-Yo afunga ndoa na mchumba wake Crystal Renay
Burudani
February 22, 2016 - 10:00 am
Ne-Yo afunga ndoa na mchumba wake Crystal Renay
Muimbaji wa R&B, Ne-Yo amefunga ndoa na mchumba wake Crystal Renay. Harusi yao ilifungwa Jumamosi mbele ya wana familia na…
Will.i.am azindua smartwatch mpya zinazopiga simu zenyewe!
Technology
February 22, 2016 - 8:00 am
Will.i.am azindua smartwatch mpya zinazopiga simu zenyewe!
Pamoja na kwamba smartwatch zinaweza kufanya mambo mengi, zinakosolewa vikali kwa kutegemea simu ili kufanya kazi zingine. Pengine hili limepata…
Diamond, Nay wa Mitego na Alaine wa Jamaica waingia studio kutayarisha wimbo
Burudani
February 22, 2016 - 6:00 am
Diamond, Nay wa Mitego na Alaine wa Jamaica waingia studio kutayarisha wimbo
Diamond Platnumz, Nay wa Mitego na msanii wa Jamaica, Alaine wameingia studio kwa kile kinachoonekana kama kurekodi wimbo. Haijulikani ni…
Pacquiao aomba radhi baada ya kuwafananisha wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na wanyama
Michezo
February 19, 2016 - 2:00 pm
Pacquiao aomba radhi baada ya kuwafananisha wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na wanyama
Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquaio, ameomba radhi baada ya kuwafananisha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja na wanyama. Kauli hiyo…
Vanessa Mdee atangaza dili
Burudani
February 19, 2016 - 12:00 pm
Vanessa Mdee atangaza dili
Vanessa Mdee anaendelea kuiimairisha himaya yake ya Mdee Music. Baada ya kutangaza kutafuta msaidizi wake, sasa muimbaji huyo wa ‘Never…
Papa adai ana mashaka kama Donald Trump ni mkristo, naye ajibu mapigo
Picha
February 19, 2016 - 10:00 am
Papa adai ana mashaka kama Donald Trump ni mkristo, naye ajibu mapigo
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amedai ana wasiwasi kama Donald Trump ni mkristo kama anavyodai. Japo hakumtaja kwa…
Tetesi: Tabia ya kuropoka ya Kanye West yamfanya Kim Kardashian kujiandaa na talaka
Burudani
February 19, 2016 - 8:26 am
Tetesi: Tabia ya kuropoka ya Kanye West yamfanya Kim Kardashian kujiandaa na talaka
Kim Kardashian amevumilia vya kutosha tabia ya mume wake Kanye West kuropoka mambo hadharani na sasa huenda akachukua hatua kubwa…