Picha: Korea Kaskazini yawachimba mkwara maadui zake kwa kuonesha silaha nzito
Picha
April 15, 2017 - 5:32 pm
Picha: Korea Kaskazini yawachimba mkwara maadui zake kwa kuonesha silaha nzito
Korea Kaskazini imetoa onyo kwa maadui zake Jumamosi hii kwa kuonesha silaha zake mpya na nzito kwenye gwaride la kijeshi…
Rais Magufuli azindua mabweni mapya ya UDSM, yatachukua wanafunzi 3,840
Habari
April 15, 2017 - 3:48 pm
Rais Magufuli azindua mabweni mapya ya UDSM, yatachukua wanafunzi 3,840
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, Jumamosi hii amefanya uzinduzi wa mabweni mapya ya wanafunzi wa…
New Video: Mdadisi – God Bless
Burudani
April 15, 2017 - 1:30 pm
New Video: Mdadisi – God Bless
Rapper Mdadisi ameachia video ya wimbo wake God Bless uliotayarishwa na Tiddy Hotter huku video ikiongozwa na Joma.
New Video: Sappy – Call You Back
Burudani
April 15, 2017 - 1:17 pm
New Video: Sappy – Call You Back
Video ya wimbo wa producer Sappy ambaye pia ni muimbaji, Call You Back. Wimbo umetayarishwa na yeye mwenyewe kupitia studio…
New Video: Nasi f/ Marisa – Napenda
Burudani
April 15, 2017 - 1:08 pm
New Video: Nasi f/ Marisa – Napenda
Video ya wimbo wa rapper Nasi akimshirikisha Marisa. Wimbo umetayarishwa katika studio za Mazuu na wimbo umetayarishwa na Shama Kilasi.
New Video: Chess Nthusi (Kenya) – Give It To You
Burudani
April 15, 2017 - 1:02 pm
New Video: Chess Nthusi (Kenya) – Give It To You
Kenyan singer Chess Nthusi has released the video of her latest single Give It To You. “Give it to you”…
Picha: Janet Jackson amuonesha mtoto wake Eissa Al Mana kwa mara ya kwanza
Burudani
April 15, 2017 - 9:57 am
Picha: Janet Jackson amuonesha mtoto wake Eissa Al Mana kwa mara ya kwanza
Janet Jackson amemuonesha mtoto wake Eissa Al Mana kwa mara ya kwanza. Ikiwa ni miezi mitatu baada ya kumpata mtoto…
Kwanini Hollywood inaenda Uganda au Kenya kufanya kazi na si kuja Tanzania? Tumeziangalia sababu
Burudani
April 14, 2017 - 3:12 pm
Kwanini Hollywood inaenda Uganda au Kenya kufanya kazi na si kuja Tanzania? Tumeziangalia sababu
Mara ya mwisho kusikia msanii mkubwa wa Marekani amekuja Tanzania na kufanyia video yake huku ni Oktoba 2007. John Legend…
New Video: Seline – Jitume
Burudani
April 14, 2017 - 1:33 pm
New Video: Seline – Jitume
Seline ameamua kugeukia muziki wa injili na hamasa baada ya kufanya kazi kwa kipindi kifupi kwenye label ya The Industry.…
Maua Sama awataja wapishi wa Main Chick
Burudani
April 14, 2017 - 1:26 pm
Maua Sama awataja wapishi wa Main Chick
Maua Sama amefanikiwa kuwa msanii anayefyatua hits baada ya hits. Kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake Main Chick. Lakini…
Jay Moe aeleza kwanini hakukata tamaa licha ya kuwa msanii mwenye ‘gundu’ kwa miaka mingi
Burudani
April 14, 2017 - 1:09 pm
Jay Moe aeleza kwanini hakukata tamaa licha ya kuwa msanii mwenye ‘gundu’ kwa miaka mingi
Rapper Jay Moe Moe amesema yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wamekuwa wakisemwa wana gundu na hawana bahati. Lakini…
Audio: Kisa cha mbuzi wanaojichunga wenyewe Dar, mzee anayewamiliki asema ukiiwaiba utawarudisha tu
Videos
April 14, 2017 - 11:44 am
Audio: Kisa cha mbuzi wanaojichunga wenyewe Dar, mzee anayewamiliki asema ukiiwaiba utawarudisha tu
Kama wewe ni mtembezi mzuri wa jiji la Dar es Salaam, bila shaka umewahi kukutana na kundi la mbuzi wanaokatiza…
New Video: French Montana f/ Swae Lee – Unforgettable
Burudani
April 14, 2017 - 10:32 am
New Video: French Montana f/ Swae Lee – Unforgettable
Rapper wa Marekani mwenye asili ya Morocco, French Montana ameachia video ya wimbo wake Unforgettable aliomshirikisha Swae Lee. Video imefanyika…
CAF na FIFA waupitisha uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kutumika kwenye mechi za kimataifa
Michezo
April 14, 2017 - 9:53 am
CAF na FIFA waupitisha uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kutumika kwenye mechi za kimataifa
Shirikisho la soka duniani, FIFA na lile la Afrika, CAF kwa pamoja wameupitisha uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza,…
Polisi 7 wauawa katika shambulio la kutisha Pwani
Tragedy
April 14, 2017 - 9:37 am
Polisi 7 wauawa katika shambulio la kutisha Pwani
Polisi takriban saba wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi huko Mkuranga mkoani Pwani. Taarifa za awali zimedai kuwa…