Nataka kushinda mataji mengi- Erling Haaland
Habari
September 10, 2023 - 2:21 pm
Nataka kushinda mataji mengi- Erling Haaland
Mshambuliaji wa Manchester city, Erling Haaland kupitia gazeti la L’Equipe amesema kuwa miaka 10 ijayo anatamani kuja kuwa Mchezaji wa…
Hoteli ya kifahari ya Ronaldo yatoa makazi kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Morocco
Habari
September 10, 2023 - 1:56 pm
Hoteli ya kifahari ya Ronaldo yatoa makazi kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Morocco
Hoteli ya Cristiano Ronaldo nchini Morocco imekua hifadhi ya manusura wa tetemeko la ardhi iliyoikumba nchi hiyo. Pestana CR7 Marrakech…
VIDEO: Mapokezi ya Taifa Stars Airport Dar baada ya kutinga AFCON2023
Habari
September 9, 2023 - 5:31 am
VIDEO: Mapokezi ya Taifa Stars Airport Dar baada ya kutinga AFCON2023
Mashabiki wa soka wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere kuipokea Taifa Stars baada ya kutinga AFCON 2023 kwa…
Mimi na Messi sio marafiki- Ronaldo
Habari
September 8, 2023 - 4:53 pm
Mimi na Messi sio marafiki- Ronaldo
Ronaldo amesema kuwa yeye na Messi sio marafiki bali ni watu waliyofanya kazi pamoja huku akidai kuwa na sasa wawili…
Usimchukie Lionel Messi- Ronaldo
Habari
September 8, 2023 - 3:57 pm
Usimchukie Lionel Messi- Ronaldo
Katika kile kinachoonekana kama kuhitimisha ‘ZAMA’ za Ronaldo na Messi kwenye soka la ushindani Duniani, staa wa Ureno amefunguka mengi…
Ronaldo: Ushindani umekwisha na Messi
Habari
September 8, 2023 - 3:08 pm
Ronaldo: Ushindani umekwisha na Messi
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi licha ya kuwa hawapo tena kwenye Ligi kubwa duniani, lakini bado wamekuwa wakishindanishwa kila siku…
Taifa Stars itafanya vizuri AFCON
Habari
September 8, 2023 - 1:37 pm
Taifa Stars itafanya vizuri AFCON
Asante Mungu tumefanikiwa kufuzu AFCON Ivory coast michuano itakayofanyika mwka 2024,ni mara ya tatu tunafanukiwa kufuzu mara kwanza ni 1980…
VIDEO: Kikosi cha Taifa Stars kikiwa safarini kurudi Dar
Habari
September 8, 2023 - 1:21 pm
VIDEO: Kikosi cha Taifa Stars kikiwa safarini kurudi Dar
Safari ya kurudi nyumbani Tanzania imeanza kwa Kikosi cha Timu ya Taifa “Taifa Stars” baada ya kufuzu AFCON 2023 katika…
Shangwe la wachezaji wa Taifa Stars baada ya kufuzu AFCON 2023(+Video)
Habari
September 8, 2023 - 10:22 am
Shangwe la wachezaji wa Taifa Stars baada ya kufuzu AFCON 2023(+Video)
Shangwe la wachezaji wa Tanzania (Taifa Stars) baada ya kufuzu AFCON 2023 kwa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya Algeria.…
Katibu Mkuu Luhemeja awataka Madiwani kuwa mabalozi wa Usalama na Afya
Habari
September 8, 2023 - 10:11 am
Katibu Mkuu Luhemeja awataka Madiwani kuwa mabalozi wa Usalama na Afya
Katibu Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhandisi, Cyprian Luhemeja amewataka madiwani wa Mkoa…
Tanzania yafuzu AFCON 2023 mbele ya Algeria
Habari
September 8, 2023 - 12:17 am
Tanzania yafuzu AFCON 2023 mbele ya Algeria
Tanzania inafanikiwa kufuzu AFCON kwa mara ya tatu baada ya kufanya hivyo mwaka 1980, 2019 na 2023. Licha ya Uganda…
Algeria v Tanzania uchambuzi wa vikosi (+Video)
Habari
September 7, 2023 - 4:11 pm
Algeria v Tanzania uchambuzi wa vikosi (+Video)
Algeria kuikabili Tanzania kwenye mchezo wa kufuzu Michuano ya AFCON 2023 kwenye Uwanja wa Annaba, wakati Uganda wakiwakabili Niger
Juma Abdul: Tofauti ya Kouassi Yao na Kibwana Shomary (+Video)
Habari
September 6, 2023 - 3:52 pm
Juma Abdul: Tofauti ya Kouassi Yao na Kibwana Shomary (+Video)
Juma Abdul beki wa Zamani ya Yanga SC amesema timu yake ya Zamani kweli wamepata fullback Kouassi Attohola Yao ametia…
Exclusive: Juma Abdul amvulia kofia Kouassi Yao ampa usharu Kibwana Shomary (+Video)
Habari
September 6, 2023 - 3:28 pm
Exclusive: Juma Abdul amvulia kofia Kouassi Yao ampa usharu Kibwana Shomary (+Video)
Beki wa Zamani wa Yanga SC Juma Abdul Jafarry Mnyamani amefunguka kiufundi tofauti ya beki mpya wa Yanga kutoka Ivory…
Kocha Ernest Middendorp siku ya kwanza kazini Singida Fountain Gate
Habari
September 6, 2023 - 3:10 pm
Kocha Ernest Middendorp siku ya kwanza kazini Singida Fountain Gate
Kocha Ernest Middendorp ameanza kibarua chake rasmi cha kikonoa kikosi cha @singidafountaingate ikiwa ni siku chache tu baada ya kutangazwa…