“Muziki wa Bongo Fleva hausikilizwi kabisa Afrika Kusini, Labda Tetema ya Rayvanny” – DJ Vasley
Burudani
October 29, 2019 - 9:02 pm
“Muziki wa Bongo Fleva hausikilizwi kabisa Afrika Kusini, Labda Tetema ya Rayvanny” – DJ Vasley
DJ maarufu hapa Tanzania, DJ Vasley ambaye ameshawahi kufanya kazi na Davido, Diamond na Vanessa Mdee amesema kuwa licha ya…
Kanye West afunguka kuongeza watoto na Kim “Mungu ananitumia kufikisha ujumbe kwa wanadamu, Utajiri wote nimepata kwake”
Burudani
October 29, 2019 - 6:27 pm
Kanye West afunguka kuongeza watoto na Kim “Mungu ananitumia kufikisha ujumbe kwa wanadamu, Utajiri wote nimepata kwake”
Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Kanye West amesema kuwa Mungu anamtumia yeye kufikisha ujumbe kwa binadamu na…
LUDEWA: Watu wanaoishi bila kufunga ndoa kupelekwa mahabusu ‘Hawa ni wahalifu tu, Lock-up ikilala bila watu hasara kwa serikali’
Habari
October 29, 2019 - 3:04 pm
LUDEWA: Watu wanaoishi bila kufunga ndoa kupelekwa mahabusu ‘Hawa ni wahalifu tu, Lock-up ikilala bila watu hasara kwa serikali’
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, Andrea Tsele ameagiza watu wanaoishi bila kufunga ndoa wakamatwe na kupelekwa mahabusu kwa…
Eddy Kenzo akutana uso kwa uso na Rais Museveni, Baada ya kuanza kampeni ya kuikosoa serikali mitandaoni
Habari
October 29, 2019 - 1:15 pm
Eddy Kenzo akutana uso kwa uso na Rais Museveni, Baada ya kuanza kampeni ya kuikosoa serikali mitandaoni
Msanii maarufu nchini Uganda, Eddy Kenzo amefanikiwa kuitwa Ikulu na kukutana na Rais wa taifa hilo, Yoweri Museveni kwa lengo…
Wanaume waonywa saratani ya matiti, Watakiwa kujichunguza kwani nao wapo hatarini kuugua
Habari
October 29, 2019 - 11:16 am
Wanaume waonywa saratani ya matiti, Watakiwa kujichunguza kwani nao wapo hatarini kuugua
Kwa mitazamo ya watu wengi hapa nchini, Huamini kuwa ugonjwa wa saratani ya matiti unawapata wanawake pekee lakini ukweli ni…
P. Diddy aandamwa na mzimu wa majina, Atua mahakamani kubadilisha jina
Habari
October 29, 2019 - 10:33 am
P. Diddy aandamwa na mzimu wa majina, Atua mahakamani kubadilisha jina
Kwa mara nyingine tena, Rapper Sean John Combs almaarufu kwa jina la P. Diddy, ametangaza kubadilisha jina lake la kati…
Lil Ommy akwara tuzo ya ‘STAR QT’ mtangazaji bora 2019 barani Afrika, Ashinda tuzo mbili ndani ya mwezi mmoja
Habari
October 28, 2019 - 5:04 pm
Lil Ommy akwara tuzo ya ‘STAR QT’ mtangazaji bora 2019 barani Afrika, Ashinda tuzo mbili ndani ya mwezi mmoja
Mtangazaji wa kituo cha radio cha Times FM, Lil Ommy ameshinda tuzo ya Star QT kwenye kipengele cha Mtangazaji Bora…
Harmonize awaudhi waandishi wa habari nchini Kenya ‘Bora tusapoti wasanii wetu, Jamaa ana madharau sana’
Habari
October 28, 2019 - 3:54 pm
Harmonize awaudhi waandishi wa habari nchini Kenya ‘Bora tusapoti wasanii wetu, Jamaa ana madharau sana’
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize amejikuta akiingia kwenye lawama na waandishi wa habari nchini Kenya baada ya kuwachelewesha…
RC Makonda akoshwa na upepo wa kisulisuli ‘Heri kelele za watu wanaomuomba Mungu kuliko za Bar’ (+video)
Habari
October 28, 2019 - 1:43 pm
RC Makonda akoshwa na upepo wa kisulisuli ‘Heri kelele za watu wanaomuomba Mungu kuliko za Bar’ (+video)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Paul Makonda amewaomba viongozi wa Dini mbalimbali kwa imani zao, Watangaze Injili…
RC Katavi akerwa na upinzani mkoani kwake ‘Kunizushia, Heti nimewataka waganga wa jadi kuwaroga’
Habari
October 28, 2019 - 11:51 am
RC Katavi akerwa na upinzani mkoani kwake ‘Kunizushia, Heti nimewataka waganga wa jadi kuwaroga’
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Homera, amekerwa na wapinzani wake mkoani humo kwa kumzushia kauli ya kuagiza kurogwa kwa…
Vifo vilivyotokana na mafuriko Tanga vyafikia 14, Wananchi walala juu ya miti kujinusuru
Habari
October 28, 2019 - 10:31 am
Vifo vilivyotokana na mafuriko Tanga vyafikia 14, Wananchi walala juu ya miti kujinusuru
Watu 14 mpaka sasa wameripotiwa kupoteza maisha kufuatia mvua kali zinazoendelea kunyesha mkoani Tanga, Katika wilaya ya Handeni na maeneo…
IRINGA: Mgogoro wa ardhi wa mwaka 1992 watatuliwa 2019, “Tulipanga kwenda Dodoma kumuona Rais Magufuli”
Habari
October 26, 2019 - 12:58 pm
IRINGA: Mgogoro wa ardhi wa mwaka 1992 watatuliwa 2019, “Tulipanga kwenda Dodoma kumuona Rais Magufuli”
Mkuu wa wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi baina ya wananchi saba dhidi ya chuo kikuu…
Wananchi wasalimisha noti bandia za thamani ya 740,000/=
Habari
October 26, 2019 - 12:11 pm
Wananchi wasalimisha noti bandia za thamani ya 740,000/=
Baadhi ya wananchi wa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameitikia wito wa Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya, wa kurudisha…
TID amzuia DJ ndani ya Club kupiga nyimbo za Nigeria ‘Ukifanya hivyo Nigeria utauawa’
Burudani
October 26, 2019 - 8:55 am
TID amzuia DJ ndani ya Club kupiga nyimbo za Nigeria ‘Ukifanya hivyo Nigeria utauawa’
Msanii wa muziki wa bongo Fleva, TID jana usiku amemzuia DJ K3 kupiga nyimbo za Nigeria na badala yake kumtaka…
Makandarasi waliokamatwa kwa agizo la RC Makonda waachiwa kwa dhamana “Tumewapa ili wakafanye kazi”
Habari
October 25, 2019 - 4:31 pm
Makandarasi waliokamatwa kwa agizo la RC Makonda waachiwa kwa dhamana “Tumewapa ili wakafanye kazi”
Makandarasi wa kampuni ya Chicco Engineering anayejenga daraja la Mto Ngo’mbe na Nyanza Road Work wanaojenga barabara ya Banana –Kitunda…