VIDEO: Rostam Aziz, James Mbatia wakutana uso kwa uso na Rais Magufuli, watoa mitazamo yao juu ya utawala wake
Habari
November 13, 2018 - 5:10 pm
VIDEO: Rostam Aziz, James Mbatia wakutana uso kwa uso na Rais Magufuli, watoa mitazamo yao juu ya utawala wake
Mfanyabiashara Maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz, wenyeviti wa vyama vya siasa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), John Cheyo (UDP) na Mwenyekiti wa…
VIDEO: Rayvanny, Diamond na Lebo ya WCB wapigwa faini ya Tsh mil. 9 kwa kuvunja sheria za BASATA
Burudani
November 13, 2018 - 4:35 pm
VIDEO: Rayvanny, Diamond na Lebo ya WCB wapigwa faini ya Tsh mil. 9 kwa kuvunja sheria za BASATA
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) leo Novemba 13, 2018 limewalima faini ya milioni tatu tatu wasanii wawili kutoka WCB, Rayvanny…
Rayvanny ahamishwa chumba BASATA, Babu Tale awatia moyo mashabiki wake (+video)
Burudani
November 13, 2018 - 2:54 pm
Rayvanny ahamishwa chumba BASATA, Babu Tale awatia moyo mashabiki wake (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rayvanny amehamishwa chumba alichokuwa anahojiwa awali na viongozi wa BASATA, na kupelekwa chumba kingine…
Serikali ya Marekani yaionya Tanzania, yataka haki za binadamu zilindwe
Habari
November 13, 2018 - 1:31 pm
Serikali ya Marekani yaionya Tanzania, yataka haki za binadamu zilindwe
Serikali ya Marekani imetoa tamko la kusikitishwa kwa kile ilichoeleza kuwa ni kushamili kwa matukio ya mashambulizi. soma taarifa hiyo…
Picha na video za watumiaji wa mitandao ya kijamii kuanza kuchunguzwa, lengo kukamata wakwepa kodi
Habari
November 13, 2018 - 12:23 pm
Picha na video za watumiaji wa mitandao ya kijamii kuanza kuchunguzwa, lengo kukamata wakwepa kodi
Serikali nchini Ufaransa imetangaza kuwa mwakani 2019 itaanza kukagua akaunti zite za mitandao ya kijamii nchini humo kwa lengo la…
Rayvanny awavimbia BASATA, apingana na amri ya kufuta wimbo wake wa ‘Mwanza’ mitandaoni
Burudani
November 12, 2018 - 7:03 pm
Rayvanny awavimbia BASATA, apingana na amri ya kufuta wimbo wake wa ‘Mwanza’ mitandaoni
Licha ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kumtaka Rayvanny aufute wimbo wake mpya wa Mwanza kwenye mitandao ya kijamii kabla…
VIDEO: Diamond na Rayvanny wamewadhalilisha watu wa Mwanza, hatuwezi kuvumilia – BASATA
Burudani
November 12, 2018 - 4:19 pm
VIDEO: Diamond na Rayvanny wamewadhalilisha watu wa Mwanza, hatuwezi kuvumilia – BASATA
Baada ya kutangaza kuufungia wimbo wa MWANZA ulioimbwa na Rayvanny na Diamond Platnumz, hatimaye Baraza la Sanaa Taifa, BASATA limefunguka…
Diamond ampiga dongo Hamisa Mobetto ishu ya kupata mpenzi mpya ‘usidanganyike, huwezi kuzuia stress’
Burudani
November 12, 2018 - 3:45 pm
Diamond ampiga dongo Hamisa Mobetto ishu ya kupata mpenzi mpya ‘usidanganyike, huwezi kuzuia stress’
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametupa dongo kwa mzazi mwenzie Hamisa Mobetto ambaye wiki iliyopita alitangaza kuwa…
Jeshi la Magereza lafunguka tetesi za Lulu kuachiwa huru ‘bado ni mfungwa, hakutakuwa na upendeleo’
Habari
November 12, 2018 - 1:59 pm
Jeshi la Magereza lafunguka tetesi za Lulu kuachiwa huru ‘bado ni mfungwa, hakutakuwa na upendeleo’
Jeshi la Magereza limetoa ufafanuzi juu ya tetesi za kuachiwa huru kwa muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye inasemekana amemaliza hukumu…
VIDEO: Rais Magufuli afunguka sababu zilizopelekea kumtumbua Mwijage na Tizeba
Habari
November 12, 2018 - 1:08 pm
VIDEO: Rais Magufuli afunguka sababu zilizopelekea kumtumbua Mwijage na Tizeba
Rais Magufuli leo Novemba 12, 2018 akiwa Ikulu kwenye amefunguka kwa mara ya kwanza sababu za kumtumbua aliyekuwa Waziri wa Kilimo…
VIDEO: Kuanzia sasa bei ya korosho ni tsh 3,300/= kwa kilo, msiponunua tutazila wenyewe – Rais Magufuli
Habari
November 12, 2018 - 12:24 pm
VIDEO: Kuanzia sasa bei ya korosho ni tsh 3,300/= kwa kilo, msiponunua tutazila wenyewe – Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo Novemba 12 ametangaza bei mpya elekezi ya…
Messi arejea Barcelona na gundu, wapigwa nyumbani ‘Camp Nou’ kipigo cha rekodi na vibonde wa La Liga
Michezo
November 11, 2018 - 8:27 pm
Messi arejea Barcelona na gundu, wapigwa nyumbani ‘Camp Nou’ kipigo cha rekodi na vibonde wa La Liga
Mshambuliaji wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi amerejea kwenye kikosi hicho kwa mara ya kwanza tangu avunjike kiwiko kwa klabu…
Taasisi ya IMETOSHA yatoa msaada kwa Mtanzania anayesumbuliwa na saratani ya macho (+picha)
Habari
November 11, 2018 - 6:40 pm
Taasisi ya IMETOSHA yatoa msaada kwa Mtanzania anayesumbuliwa na saratani ya macho (+picha)
Taasisi ya Imetosha ya Jijini Dar es salaam imemtembelea na kumpatia msaada bwana Charles Kulwa Jagadi (41) mwenye Ualbino mkazi…
Antu Mandoza ageuka kungwi mtandaoni, awafunda wanawake wanaopenda wanaume wenye vitu vya thamani
Burudani
November 11, 2018 - 6:02 pm
Antu Mandoza ageuka kungwi mtandaoni, awafunda wanawake wanaopenda wanaume wenye vitu vya thamani
Muigizaji na Mjasiriamali, Mrembo Antu Mandoza amewafunda wasichana wenzake kuwa waache tabia ya kumpenda mwanaume kwa sababu ya vitu anavyomiliki.…
Nyumba aliyokuwa amehifadhiwa MO Dewji kipindi ametekwa yapatikana, Jeshi la Polisi lakamata watuhumiwa 40 (+Audio)
Habari
November 11, 2018 - 3:17 pm
Nyumba aliyokuwa amehifadhiwa MO Dewji kipindi ametekwa yapatikana, Jeshi la Polisi lakamata watuhumiwa 40 (+Audio)
Leo Jeshi la Polisi mkoani Dar Es Salaam limeionesha nyumba aliyokuwa amehifadhiwa mfanyabiashara MO Dewji kipindi alivyokuwa ametekwa. Akizungumza na…