Hakuna siri tena: Mahusiano ya Young Dee na Amber Lulu hadharani
Burudani
October 12, 2016 - 11:00 am
Hakuna siri tena: Mahusiano ya Young Dee na Amber Lulu hadharani
Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali. Ukweli wafahamika baada ya mara kadhaa rapper Young Dee kukanusha kuwahi kuwa na mahusiano na…
Facebook yaanzisha mfumo mpya wa njia ya barua pepe
Habari
October 12, 2016 - 9:00 am
Facebook yaanzisha mfumo mpya wa njia ya barua pepe
Mtandao wa Facebook umeanzisha mfumo mpya wa mtandao mpya uliopewa jina la ‘Work Place’ ambao utasaidia makampuni kurahisisha mawasiliano kwa…
Kevin Hart apata heshima ya ‘Hollywood Walk of Fame’
Burudani
October 11, 2016 - 7:00 pm
Kevin Hart apata heshima ya ‘Hollywood Walk of Fame’
Mchekeshaji maarufu wa Marekani, Kevin Hart amefanikiwa kuungana na mastaa wengine duniani waliowahi kupatiwa heshima ya nyota ya Hollywood Walk…
Jaguar akamilisha kushoot video yake mpya na rapper wa Ghana
Burudani
October 11, 2016 - 5:00 pm
Jaguar akamilisha kushoot video yake mpya na rapper wa Ghana
Msanii wa Kenya, Jaguar amekamilisha kushoot video ya wimbo wake mpya aliomshirikisha rapper wa Ghana, Elom Adablah aka E.L. Siku…
Machupa aipandisha daraja FC Kilimanjaro kwenye ligi nchini Sweden
Michezo
October 11, 2016 - 3:00 pm
Machupa aipandisha daraja FC Kilimanjaro kwenye ligi nchini Sweden
Timu inayomilikiwa na watanzania nchini Sweden, FC Kilimanjaro imefanikiwa kupanda daraja kwenye moja ya ligi iliyokuwa ikishiriki nchini humo. Timu…
Lulu adai amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa Nigeria
Burudani
October 11, 2016 - 1:00 pm
Lulu adai amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa Nigeria
Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa…
GK: Wasanii warudi shule ili waache kupelekwa pelekwa
Burudani
October 11, 2016 - 11:00 am
GK: Wasanii warudi shule ili waache kupelekwa pelekwa
King Crazy GK amewataka wasanii warudi shule ili waache kuendeshwa kwenye muziki. Rapper huyo amedai kuwa wasanii wengi wamekuwa wakipelekwa…
Rihanna awakejeli wapenzi wake aliowahi kutoka nao
Burudani
October 11, 2016 - 9:00 am
Rihanna awakejeli wapenzi wake aliowahi kutoka nao
Hitmaker wa wimbo ‘Work’, Rihanna amewakejeli waliokuwa wapenzi wake kupitia ujumbe aliouandioka kwenye mtandao wake wa Instagram. Rihanna ameandika kwenye…
Bill Nas atuhumiwa kuhamisha verse yake kwenye wimbo wa msanii chipukizi na kuiweka kwenye wimbo wa Nuh
Burudani
October 10, 2016 - 7:00 pm
Bill Nas atuhumiwa kuhamisha verse yake kwenye wimbo wa msanii chipukizi na kuiweka kwenye wimbo wa Nuh
Rapper Bill Nas anatuhumiwa kutumia verse za wimbo wa msanii chipukizi ambaye amefanya cover ya ‘Pana’ Chris Roby kwenye wimbo…
Rapper Disiigner ameachia kionjo cha wimbo wake mpya
Burudani
October 10, 2016 - 5:00 pm
Rapper Disiigner ameachia kionjo cha wimbo wake mpya
Rapper Desiigner ameachia kionjo cha wimbo wake mpya ‘Outleet/Billionares’ ambao anatarajia kuuachia hivi karibuni. Wimbo huo umetayarishwa na Vinylz. “Got…
Aliyemtoa damu Neymar uwanjani agoma kumuomba radhi
Michezo
October 10, 2016 - 3:00 pm
Aliyemtoa damu Neymar uwanjani agoma kumuomba radhi
Beki wa timu ya taifa ya Bolivia, Yasmani Duk amegoma kumuomba msamaha mchezaji wa Brazil, Neymar ambaye alimpasua kwa kumpiga…
Christian Bella ataja kitu ambacho hatokisahau maisha mwake
Burudani
October 10, 2016 - 1:00 pm
Christian Bella ataja kitu ambacho hatokisahau maisha mwake
King of the best melody Christian Bella amefunguka na kutaja wakati mgumu ambao amewahi kuupitia na hatokuja kusahau kwenye maisha…
Wimbo wa Mafikizolo ulioandikwa na Vanessa Mdee kuachiwa wiki ijayo
Burudani
October 10, 2016 - 11:00 am
Wimbo wa Mafikizolo ulioandikwa na Vanessa Mdee kuachiwa wiki ijayo
Kundi la muziki kutoka Afrika Kusini, Mafikizolo limetangaza kuachia wimbo wao mpya walioupa jina la ‘Kucheza’ wiki ijayo. Kupitia mtandao…
Rais Magufuli amteua Mkurugenzi Mkuu wa TCRA
Habari
October 10, 2016 - 9:00 am
Rais Magufuli amteua Mkurugenzi Mkuu wa TCRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya…
Amber Lulu na Giggy Money waanza kuwashiana moto
Burudani
October 8, 2016 - 5:00 pm
Amber Lulu na Giggy Money waanza kuwashiana moto
Baada ya mapema wiki hii kuenea kwa taarifa za kukamatwa kwa model Amber Lulu akiwa na madawa ya kulevya huko…