Burudani
Ay atikisa India
Mwanamuziki anayetisha katika miondoko ya Bongo Fleva, Ambwene Yesaya ‘Ay’ amerudi Indi katika shoo aliyoenda kuifanya na kusema hakika ilikuwa bonge la shangwe.
Ay alitutumia picha hizi, ilikuonyesha jinsi gani anavyowajibika pande zote za Duni katika harakati za kimuziki bila kuchoka. kwa picha zaidi….
Ay akiwa kwenye show India, hapa watu wakiwa ‘Nyomi’ wakimsikiliza na kuimba nyimbo alizokuwa akiimba.
Hapa akiwa Nigeria pamoja na Hamisi Nandi ‘B 12’ wa Clouse Fm katika kipindi cha XXL
Nndani ya Nigeria Ay hapa akiwa na Fally Ipupa katika pozi la pamoja.
Ay katika pozi la Suti.
Ay akiwa na Aki na Hermme B,