Burudani

AY aweka wazi ujio wa kampuni yake aliyoipa jina la mtoto wake

Rapper kutoka Tanzania Ambwene Yesaya alimaarufu AY, afunguka kuhusu ujio wa kampuni ya Usafirishaji aliyoipa jina la mtoto wake wa Kwanza na wa Pekee anayeitwa “Aviel”

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Msanii huyo amewekawazi ujio wa Kampuni ambayo ameipa Jina la Mtoto wake wa Kwanza #Aviel 
na Kampuni hiyo ya Usafirishaji ikinaitwa “AvielSafari”

Bado hajaweka wazi ni lini na itajihusisha na Usafiri Gani … Endelea Kukaa Karibu na Page zetu za Mitandao ya Kijamii Tutakudondoshea Pindi Tu Atakapoitangaza Rasmi.

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents